Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Trump atoa maamuzi siku ya mwisho ya urais wake

Jumatano , 20th Jan , 2021

Rais wa Marekani anayemaliza muda wake hii leo Januari 20, 2021, Donald Trump, ametoa msamaha kwa wafungwa 73 na kupunguza adhabu kwa wafungwa wengine 70. Miongoni mwa waliosamehewa ni pamoja na aliyekuwa mshauri wake mkuu Steve Bannon na rapa Lil Wayne.

Donald Trumpa, Rais wa Marekani anayemaliza muda wake leo Januari 20, 2021

Hatua hii ya Trump kutoa msamaha kwa wafungwa huku wengine akiwapunguzia adhabu, anaitelekeza yakiwa yamebaki masaa kadhaa tu ili amkabidhi kiti hicho Rais mteule wa Taifa hilo Joe Biden, zoezi ambalo litafanyika leo Januari 20, 2021, saa 2:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki.

Lil Wayne, alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya kumiliki silaha kinyume na sheria, huku rapa mwenzake Kodak Black, na aliyekuwa Meya wa Detroit Kwame Kilpatrick, wakipunguziwa vifungo vyao.

Kwa upande wa aliyekuwa mshauri wake mkuu, Steve Bannon, yeye alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya makosa ya udanganyifu juu ya kampeni ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kujengea ukuta katika mpaka wa Marekani na Mexico.

Katika kampeni hiyo inadaiwa kuwa Bannon alipokea zaidi ya dola milioni 1, ambazo baadhi ya pesa hizo alizitumia kwa matumizi yake binafsi.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu