Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tril 4.5 zinakusanywa kila mwezi - TCRA

Jumanne , 5th Apr , 2016

Jumla ya fedha za Tanzania shilingi trilioni nne nukta tano, zimekuwa zikikusanywa kila mwezi kupitia biashara ya kutuma na kupokea pesa kwa njia simu za mkononi inayotolewa na makampuni ya simu za mkononi nchini.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA, Profesa Haji Semboja

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA, Profesa Haji Semboja, ametoa takwimu hizo jijini Dar es Salaam leo, mbele ya Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma, iliyokutana na watendaji wa TCRA kwa lengo la kupitia utendaji wa mamlaka hiyo.

Katika kikao na kamati hiyo, TCRA wameelezea majukumu kadhaa wanayoyatekeleza kama mamlaka ya udhibiti ambapo wamesema mamlaka hiyo haiendeshwi kwa mtazamo wa kibiashara bali kwa kusimamia usawa katika biashara na huduma ya mawasiliano nchini.

Kauli ya Profesa Semboja imekuja kufuatia michango mbali mbali ya wajumbe wa kamati hiyo, waliokuwa wakihoji utendaji wa TCRA ambapo pamoja na mambo mengine walitaka kufahamu sababu za upatikanaji na udhibiti wa huduma za mawasiliano nchini.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti huyo wa bodi ya TCRA, Mamlaka hiyo mbali ya kusimamia sekta ya mawasiliano, lakini pia imekuwa ikifanya majukumu ya taasisi nyingine kama vile usimamizi wa kiasi cha biashara ya miamala ya pesa inayofanywa kupitia simu za mkononi kwa lengo la kuhakikisha mapato ya serikali hayapotei.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba