Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

THBU yavitaka vyombo vya uchaguzi kusimamia haki

Jumatano , 9th Sep , 2015

Tume ya haki za binadamu na utawala bora umevitaka vyombo vinavyosimamia uchaguzi mkuu ikiwemo Tume ya Uchaguzi Tanzania NEC na ile ya Zanzibar ZEC kutenda haki ili uchaguzi uwe huru na haki na kudumisha amani ya nchi.

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe. Bahame Nyanduga

Akizungumza na East Africa Radio Mwenyekiti wa Tume hiyo Bw, Bahame Nyanduga amesema wasimamizi hao wahakikishe kwamba zoezi hilo linaendeshwa kusimamia sheria za uchaguzi, na uwazi tangu mwanzo wa upigaji kura mpaka utoaji matokeo.

Nyanduga ameongeza uzeofu unaonesha katika nchi nyingine moja wapo kati ya hatua za uchaguzi zikivurugika zinaweza kuleta maafa na kutaka tume kuzingatia maadili na usawa kwa vyama vyote.

Katika hatua nyingine amewasifu wananchi wanaojitokeza katika mikutano ya kampeni kwa utulivu na amani wanayoionesha huku akisisitiza waendelee kuwa hivyo mpaka siku ya uchaguzi mkuu.

Aidha mwenyekiti huyo ametumia fursa hiyo kuwapa pole wale wote waliohofiwa na ndugu zao katika moja ya mikutano ya kampeni ya CCM na waliojeruhiwa waweze kurejea katika hali yao ya kawaida huku akiongeza vyama vya siasa vinatakiwa kutafuta viwanja vilivyo na usalama wa kutoka na kuingia.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali