Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TCRA yatakiwa kutoa mwongozo wa kuelekea uchaguzi

Alhamisi , 4th Dec , 2014

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetakiwa kutoa mwongozo kwa makampuni ya simu wakati huu nchi inapoelekea kwenye uchaguzi mkuu hapo mwakani

Waziri wa Sayansi, Mawasiliano na Teknolojia Prof Makame Mbarawa

Vyombo vya habari na makampuni ya simu nchini vimetakiwa kuelimisha wananchi ipasavyo juu ya sheria na taratibu za uchaguzi wakati huu nchi inapoelekea kwenye uchaguzi mkuu hapo mwakani huku Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA ikitakiwa kutoa mwongozo kwa makampuni ya simu.

Waziri wa Sayansi, Mawasiliano na Teknolojia Prof Makame Mbarawa ametoa wito huo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua mkutano wa kimataifa wa umoja wa mawasiliano Afrika ambapo amesema mchakato wa kutoka kwenye analojia kuingia dijitali haikuwa kazi rahisi kwani baadhi ya wadau walipinga mfumo huo kwa madai kuwa ni mapema huku akimpongeza mwenyekiti wa MOAT Dk Reginald Mengi kwa ushirikiano alioutoa kipindi chote hicho.

Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA Prof John Nkoma akizungumza katika mkutano huo amesema mkongo wa taifa uliougharimu serikali dola za kimarekani milioni 200 bado haujatumika ipasavyo katika sekta ya utangazaji na kuongeza kuwa mkongo huo pia unategemewa na nchi za Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia na Malawi.

Mkutano huo umehudhuriwa pia na mwenyekiti wa bodi ya TCRA Bw Salimin Senga ambaye amesema Tanzania ni kubwa, hivyo sekta ya mawasiliano inakabiliwa na changamoto ya namna ya kufika kila kona ya nchi na kwamba mipango ni hatua moja lakini tatizo liko kwenye utekelezaji.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya