Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tarehe ya Uchaguzi Serikali za Mitaa yatangazwa

Ijumaa , 23rd Aug , 2019

Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Selemani Jaffo ametangaza tarehe rasmi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019.

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jaffo

Ameyasema hayo hii leo, Agosti 23 Jijini Dodoma wakati akitoa maagizo kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa na Viongozi mbalimbali kuelekea uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Ikiwa ni miezi minne imebakia kabla ya kumalizika kwa mwaka 2019, Waziri Jaffo amesema kuwa uchaguzi huo utafanyika, Novemba 24, ambapo zoezi la kupiga kura litaanza saa 2:00 Asubuhi hadi saa 10:00 Jioni.

Kampeni za uchaguzi zitafanyika siku saba kabla ya siku ya Uchaguzi, na kila chama kitakachoshiriki uchaguzi kitawasilisha ratiba yake ya Kampeni, si chini ya siku 7 kabla ya kuanza Kampeni.

Ofisi ya Mkoa ndiyo itakuwa Mratibu Mkuu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa husika, ambapo Halmashauri za wilaya zitawajibika kuratibu Uchaguzi kwa mujibu wa maelekezo yaliyoonyeshwa katiia Mwongozo”, amesema Selemani Jaffo.

Kwa mujibu wa Kanuni hizi, viongozi waliochaguliwa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopita, ukomo wa Uongozi wao utakuwa ni siku 7 kabla ya siku ya kuchukua fomu kuanza", ameongeza.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali