Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yapokea bilioni 23.7 kutoka Ujerumani 

Jumatatu , 8th Aug , 2022

Serikali ya Tanzania imesaini makubaliano ya shilingi bilioni 23.7 ya ushirikiano na serikali ya shirikisho la Ujerumani kwa ajili ya kudhibiti uharibifu wa wanyamapori na vifo vinavyosababishwa na wanyamapori kama Tembo katika jamii zinazozunguka maeneo ya hifadhi.

Kushoto ni Balozi wa Ujerumani nchini Regina Hess na kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Emmanuel Tutuba

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Emmanuel Tutuba,  amesaini mkataba wa ushirikiano na serikali ya Ujerumani ambapo bilioni 14.2 ni kwa ajili ya mradi wa kukabiliana na mwingiliano wa wanyamapori na binadamu, na bilioni 7.1  ni za kusaidia upatikanaji wa haki kwa wanawake na watoto, huku bilioni 2.4 zikielekezwa katika utafiti na maandiko.

"Baada ya kuhifadhi wanayama wetu tunaona wameongezeka na kuvamia wananchi na mashamba ya jamii zinazozunguka maeneo ya hifadhi zetu, sasa sekta ya utalii katika mradi huu imeepewa zaidi ya bilioni 6 ambazo zitaenda kusaidia kukabiliana na athari za mwingiliano wa wanyamapori na binadamu," amesema  Dkt Tutuba 

Akizungumza kwa niaba ya serikali ya shirikisho la Ujerumani, Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania amesema kwamba baada ya  kushirikiana katika miradi ya maji na afya, sasa wanakwenda kusaidia jamii zinazozunguka hifadhi huku viongozi wa Wizara ya maliasili na Utalii pamoja na Katiba na Sheria wakiahidi kusimamia matumizi sahihi ya fedha hizo.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu