Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yapata msaada Bilioni 146.47

Jumamosi , 19th Mei , 2018

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli imepokea msaada kutoka Jamhuri ya Watu wa China wa Bilioni 146.47 kwa ajili ya ujenzi wa chuo Kikuu cha usafiri pamoja na kuendeleza ujenzi wa reli ya standard Gauge ambayo umeanza hivi sasa.

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Mhe. wang Ke wakibadilishana mikataba baada ya kuitia saini makubaliano

Akizungumza na waandishi wa habari Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James mara baada ya ghafla ya kutia saini ya mkataba wa msaada wa kifedha na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Mhe. Wang Ke uliofanyikia Ofisi za Hazina Jijini Dar es salaam leo Mei 19, 2018 na kusema uwamuzi huo umefikiwa baada ya China kuona inaombwa msaada mara kwa mara.

"Serikali ya China baada ya kuona mara nyingi tunaiomba msaada wa kutusaidia ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha standard Gauge sasa wameona kwa utashi wao kuisaidia serikali yetu ambapo wao utaratibu wao wanaanza na upembuzi wa awali na yakinifu ambazo zitagharimu shilingi bilioni 3.22 nazo zitafadhiriwa na China maana ni kama msaada", amesema Doto.

Mtazame hapa chini Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James akielezea zaidi..

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali