Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania kuingia kwenye uchumi wa kwanza

Jumatatu , 26th Oct , 2020

Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi, (CCM), Dkt. John Magufuli, amesema kuwa anatamani Taifa la Tanzania liendelee kuheshimika zaidi duniani na kwamba anatamani siku moja Tanzania iingie uchumi wa kwanza.

Mgombea urais kupitia CCM Dkt. John Magufuli

Kauli hiyo ameitoa hii leo Oktoba 26, 2020, wakati akizungumza na wananchi wa Dodoma, ikiwa ni muendelezo wa mikutano yake ya kampeni kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika siku ya Jumatano ya Oktoba, 28 mwaka huu.

"Natamani Taifa hili liwe Taifa linaloheshimika duniani na wameanza kutuheshimu baada ya kutokea Corona, sisi tukaizima kwa jina la Mungu wengine bado wanateseka, nina uhakika katika kipindi cha miaka mitano tumetoka kwenye dimbwi la kuitwa nchi maskini, tukaingia uchumi wa kati, tunataka siku moja nchi hii iwe kwenye uchumi wa kwanza katikati hatutaki", amesema Dkt Magufuli.

Awali Dkt Magufuli akiwa katika jimbo la Kondoa akiomba kura alisema maneno haya, "Hamchagui Malaika mnachagua binadamu ninawaomba ndugu zangu ili mnisaidie kupata 'Connection' ya kazi, nipate watu watakaokuja ofisini aniambie CCM oyee!, mheshimiwa kwenye ilani ya uchaguzi umesahahu hiki kwa ajili ya Kondoa".

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali