Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Taka za Vifaa vya kielektroniki kuteketezwa

Jumatatu , 20th Mar , 2023

Serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema imeanza mkakati wa kuandaa namna ya uteketezaji wa taka za vifaa vya kielektroniki ikiwa ni pamoja na simu na vifaa vingine kutokana na vifaa hivyo kutengenezwa kwa madini mengi ambayo ni sumu kwenye mazingira 

Rai hiyo imetolewa na Waziri wa Habari Nape Nnauye ambaye amesema Takwimu za  taka sumu zitokanazo na vifaa vya mawasiliano kama  simu, vifaa vya kiteknolojia  ukanda wa Afrika mashariki zinazidi kuongezeka ambapo taka hizo zinaweza kutumika pia kama fursa kutokana na madini yaliyomo.

Hata hivyo Katibu Mkuu wa Taasisi ya mawasiliano ya Afrika mashariki taka za kielektroniki zinakuwa kwa kasi ambapo kwa Tanzania taka hizi hufikia hadi tani elfu 19 kwa Mwaka kuliko taka zingine na kwamba endapo utaratibu utawekwa mzuri taka hizi ni fursa kutokana na wingi wa madini yaliyomo.

Utaratibu wa uzalishaji na udhibiti wa taka hizi umekuwa ukitofautiana na nchi na nchi katika umoja huu wa nchi za Afrika mashariki ambapo kupitia mkutano huu wadau wamekutana kujadili mpango maalum wa udhibiti wa pamoja.

Kwa upande wa mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA wamesema lengo kubwa kwa sasa ni kusambaza elimu kwa wadau wote wakiwemo wasimamizi wa mazingira,wananchi na watunga sera.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali