
Akizungumza na East Africa Radio Mkuu wa hifadhi ya Ruaha Godwell Ole Meing’ataki amesema bado wanaendelea na juhudi za kuhakikisha wanawakamata samba hao n akuwarudisha hifadhini
Kwa nyakati tofauti wanakijiji wa Magunda na Kiponzero Baraka Dalu na Freddy Mhavile wanasema kwa sasa wamekuwa na hofu sit u kwa ajili ya mifugo yao bali pia kuhusu usalama wa watu katika maeneo husika
Ripoti Kamili kuhusu habari hii sikiliza Supa Breakfast Kesho kuanzia saa 12 na nusu Asubuhi