Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yazipiga marufuku halmashauri

Jumamosi , 18th Nov , 2017

Serikali imepiga marufuku halmashauri zote nchini kuingia makubaliano na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali(NGO’S) bila kupitia na kuidhinishwa na Ofisi ya Rais, Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa( TAMISEMI ).

Kauli hiyo imetolewa mjini Tabora na Naibu Katibu Mkuu (ELIMU) Ofisi ya Rais, Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa (TAMISEMI) Tixon Nzunda wakati akizungumza na watendaji  na watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora.

Nzunda amesema kwenye baadhi ya NGO’s mambo yamekuwa hayaendani na vipaumbule vya serikali ambavyo ni kuwasaidia wananchi badala yake NGO’s zimekuwa zinakwenda tofauti na kujinufaisha zenyewe.

Ameongeza kuwa kabla ya kuanza utekelezaji wa shughuli za NGO’s ni vyema halmashauri zikapeleka (TAMISEMI) maombi ya mashirika ambayo yameomba kufanyakazi katika maeneo yao ili serikali ione kama kweli inaendana na vipaumbele ambavyo imepanga katika kuboresha maisha ya watanzania ambao maisha yao yako chini.

Aidha ameeleza Mashirika ambayo yana nia ya kweli ya kusaididia watanzania lazima yakubaliane na vipaumbele vya serikali ili yaweze kufanya kazi nchini vinginevyo ni vyema yakatafute nchi nyingine ya kufanya mambo yake bila kufuata utaratibu wa nchi husika.

Naibu Katibu Mkuu huyo yupo katika ziara ya kikazi katika Mikoa ya Kigoma, Tabora na Singida kwa lengo ya kuhimiza usimamizi bora wa sekta ya elimu, kilimo, mifugo na utawala bora.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi