Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaongeza muda vitambulisho vya taifa

Ijumaa , 21st Oct , 2016

Serikali imeongeza muda wa usajili wa vitambulisho vya taifa kwa watumishi wa umma, na kutoa onyo kwa wakuu wa taasisi na mashirika ya umma watakaoshindwa kusimamia zoezi hilo.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mwigulu Nchemba.

 

Uamuzi huo wa serikali umetangazwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mwigulu Nchemba, kwa pamoja na Waziri wa Nchi Utumishi na Utawala Bora Angela Kairuki wakati wa mkutano wao na waandishi wa habari mjini Dodoma.

Waziri Nchemba amesema kuwa watumishi waliokosa baadhi ya nyaraka wamepewa muda wa siku 14 kukamilisha utaratibu wa kutafuta nyaraka hizo ili kufanikisha zoezi hilo huku akisema kuongeza muda huko kunatokana na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu huo wa baadhi ya nyaraka.

Kwa upande wake Mhe. Angela Kairuki ametoa onyo kwa viongozi watakaobainika kukwamisha utekelezaji wa zoezi hilo ambalo limepangwa kufanyika kwa nchi nzima.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali