Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaleta tumaini jipya kwa wenye VVU

Jumanne , 19th Jun , 2018

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Watoto na Wazee, Ummy Mwalimu amesema Serikali itaanza kutoa dawa mpya za kupunguza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARVs) itakayokuwa na ufanisi zaidi kuliko inayotumika hivi sasa nchini.

Ummy ameyasema hayo leo katika uzinduzi wa kampeni ya Furaha Yangu, Pima, Jitambue, Ishi, inayolenga kuhamasisha wananchi hasa wanaume kupima VVU kwa hiari na kuanza matumizi ya dawa za kufubaza makali ya ugonjwa Ukimwi (ARVs)

“sasa hivi mtu yeyote atakayekutwa na maambukizi ya VVU nchini ataanzishiwa dozi mapema ili kupunguza makali na kukinga maambukizi mapya ili kufikia lengo la mapambano dhidi ya ugonjwa huo hasa kwa wanaume ambao ndio kundi lenye uzito wa kupima afya”, amesema Waziri Ummy.

Amesema mpango huo wa kutoa dawa kwa miezi mitatu hautawahusu wajawazito, watoto na wale ambao mwenendo wao wa utumiaji ARVs hauridhishi.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya kupima Virusi vya UKIMWI (VVU) na kuanza kutumia dawa mapema inayojulikana kama Furaha Yangu iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri, Jijini Dodoma leo.

Ummy amesema pia wamepanga kuongeza vituo vya kutoa huduma kwa watu wanaoishi na VVU ambapo hadi kufikia Desemba mwaka huu vitafikia 4,050 kutoka 1,866 vilivyopo sasa

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali