Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sera itengenezwe waliopata ujauzito kurudi shule

Alhamisi , 29th Sep , 2022

Wadau wa maendeleo ya jamii wameiomba serikali kuandaa sera na baadae sheria rasmi kuhusu wanafunzi waliopata ujauzito kuruhusiwa kurejea shuleni, ili kuepukana na mkanganyiko miaka ya ijayo.

Mwanafunzi mwenye ujauzito

Hayo yameelezwa wakati wa kongamano lililohusisha wanafunzi, wadau wa maendeleo ya jamii na mabinti wengine kutoka maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam, huku wakikiri kuwa bado elimu ya kutosha haijatolewa kwa jamii kuhusu namna binti anavyoweza kurejea shule baada ya kupata ujauzito.

Kwa upande wao wanafunzi wa kike, ambao ndio wahanga wa kubwa  wa mimba za utoto na ndoa za utotoni, wamebainisha kuwa hali ngumu ya maisha imekuwa kishawishi kikubwa kwa baadhi ya mabinti kupata ujauzito, huku wakiomba kuendelea kupewa elimu zaidi.

"Ni vyema serikali ikatengeneza sera ambayo baadaye itakuwa sheria, kwa wanafunzi waliopata ujauzito wakiwa masomoni, kupewa nafasi ya kurejea tena shule, japo bado elimu haijatolewa vya kutosha juu ya namna ya kurejea shule baada ya kupata ujauzito."-Amesema katibu mtendaji wa shirika la Voice of encouragement Tanzania

Nao viongozi wa dini wanatoa wito kwa jamii kuzingatia mafundisho ya dini zao, na kurejea kwenye maadili yetu ya Kitanzania na kuacha kuiga tamaduni za kigeni zinazosababisha kuongezeka kwa vitengo vilivyokinyume na maadili yetu.

"Watu wamekosa maadili siku hizi, hata mavazi wanayovaa pia yanachochea vitendo vya unyanyasaji kwa wasichana kuongezeka nchini."- Amesema Mchungaji Daudi Zacharia

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi