Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Samia amzungumzia Waziri aliyemfukuza Mzee Mwinyi

Jumamosi , 8th Mei , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kitabu cha maisha ya Mzee Mwinyi,alichokizindua hii leo kinafundisha mambo mengi ikiwemo la binadamu kupendana na si vyema kumfanyia mtu ubaya sababu hauwezi kujua kesho atakuwa nani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, samia Suluhu Hassan

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 8, 2021, wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi, kinachoitwa Mzee Rukhsa, ambapo ndani ya kitabu hicho Mzee Mwinyi amemuelezea Waziri mmoja ambaye aliamua kumtimua kwenye moja ya nyumba alizokuwa akiishi na kisha kumnyima vifaa vyake vya ujenzi wa nyumba yake aliyokuwa akiijenga maeneo ya Mikocheni.

"Mzee Mwinyi anatufundisha umuhimu wa sisi binadamu hususani viongozi kupendana na kushirikiana, mwaka 1981 aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, baada ya uteuzi huo alitakiwa kuhama nyumba ambayo ilipangiwa kukaa Waziri mwingine, Waziri mpya alikuja nyumbani na kumtaka aondoke haraka hata bila kumpa nafasi ya kuhamisha vitu vyake vya ujenzi Mzee Mwinyi aliondoka",ameeleza Rais samia

"Baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na kufanyiwa vitimbwi hivyo vyote Mzee Mwinyi, alimteua Waziri huyo  kwenye Baraza lake la Mawaziri, sasa ndugu zangu kama huyo Waziri bado anaishi sijui anajisikiaje huko aliko", ameongeza Rais Samia.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA