Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu ya wahitimu wanawake kukimbilia ndoa

Alhamisi , 15th Jul , 2021

Baadhi ya wanawake waliohitimu vyuo vikuu nchini wamesema wanalazimika kuingia kwenye ndoa ili kujikwamua kiuchumi kutokana na kukosekana kwa ajira.

Picha: wahitimu wakifurahia jambo (Picha kutoka mtandaoni)

Akielezea kuhusu jambo hilo Tofana Paschal ambaye ni mmoja wa wanwake waliohitumu Chuo Kikuu amesema wanalazimika kuolewa ili kuweza kutimiziwa mahitaji ya kila siku tofauti na wakiwa nyumbani ambapo wanakuwa mizigo kwa wazazi wao.

“Tumelazimika kuolewa kwa lazima, unaona ni bora niende nikaishi na mwanaume kwa sabbau atapamabana ataleta kitu chochote kile nyumbani ilimradi tule tulale, imefika mahali wazazi nao wanachoka kuombwa kila kitu,” amesema Tofana.

Nao wadau wa elimu wamesema kuwa mfumo wa elimu Tanzania umekuwa ukitajwa kuwa si rafiki kwa maisha halisi ya mtaani hii ni kutokana na kuwepo kwa wimbi la wasomi wengi mtaani wasio na jaira.

Aidha, wadau hao wametoa wito kwa wanafunzi kuwa na machaguo sahihi wanapokwenda vyuoni ili wafanikiwe huku wakiiomba serikali kuyapa kipaumbele masomo ambayo yanaweza kumsaidia kijana kujiajiri pindi anapomaliza masomo.

“Wasomi wengi sana wako mtaani kwa kukosa ajira, ninaomba wanafunzi wawe makini na hizi taaluma wanazozichagua lakini pia serikali iongeze nguvu kwenye vyuo vya maendeleo na VETA ili tuweze kupata wataalamu zaidi,” amesema Emmanuel Ngelime.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali