Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu ya Rais wa Burundi kuja nchini yatajwa

Jumamosi , 19th Sep , 2020

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye anatarajiwa kuwasili mkoani Kigoma hii leo Septemba 19, 2020, kwa ziara rasmi ya siku moja kufuatia mwaliko aliopewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli.

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye

Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa kitengo cha mawasiliano serikalini, Emmanuel Buhohela, ambapo imesema kuwa mbali na kupokelewa na Rais Magufuli, Rais huyo wa Burundi pia atapokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje Profesa Palamagamba Kabudi, pamoja na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa Rais Magufuli na mgeni wake watazungumza na Watanzania hii leo katika viwanja vya Lake Tanganyika mkoani Kigoma, kabla ya kuzindua jengo la Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Kigoma, ambapo baadaye watafanya mazungumzo yao rasmi Ikulu ndogo iliyopo mkoani humo.

Ikumbukwe kuwa hii ndiyo ziara ya kwanza ya Rais Ndayishimiye nchini, tangu alipoapishwa rasmi kuwa Rais wa Burundi mapema Juni 18 mwaka huu.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi