Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rushwa ndio chanzo cha migogoro ya Ardhi nchini

Jumamosi , 6th Dec , 2014

Imeelezwa kuwa rushwa ndiyo chanzo kikubwa cha migogoro ya ardhi inayoendelea hapa nchini kwa mamlaka zinazohusika kutotimiza majukumu yake ipasavyo kwa kudai rushwa kwa watu wanaowahudumia.

Rais wa Chama cha Mawakili nchini, Charles Rwechungura .

Kauli hiyo imetolewa leo na Rais wa Chama cha Mawakili nchini, Charles Rwechungura kwenye uzinduzi wa wiki ya msaada wa kisheria iliyozinduliwa katika viwanja vya mwalimu Nyerere mkoani Dodoma.

Rwechungura amesema iwapo mamlaka husika zinazoshughulika na masuala ya ardhi zitatimiza majukumu yake ipasavyo madai yaliyoko katika mahakama mbalimbali nchini yatapungua kwa kuwa mashauri mengi yaliyoko mahakamani yanahusiana na ardhi.

Kwa upande wake mwakilishi wa mwenyekiti wa chama cha mawakili nchini Grace Dapa, amewataka mawakili kuwafikia wananchi walioko vijijini ambao wanahitaji msaada mkubwa wa kisheria kwa kuwa mawakili wengi wako mijini na kuwasahau watu wa vijijini ambao hawajui kama kuna watu wa kuwasaidia pindi wanapohitaji msaada wa kisheria.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali