Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ripoti ya LHRC yaitaja Kanda ya Ziwa kuwa kinara

Jumanne , 20th Aug , 2019

Ripoti ya nusu mwaka ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), inayobainisha hali ya haki za binadamu nchini, imezinduliwa leo Agosti 20, ambapo imeonyesha kuwepo kwa ushamiri wa hali ya ukatili dhidi ya watoto wadogo.

Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC Anna Henga

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC Anna Henga, amesema ripoti hiyo ilijikita katika makundi matatu ikiwemo Haki za kiraia na kisiasa, Haki za kijamii pamoja na Haki za makundi maalumu wakiwemo Watoto, Wanawake na watu wenye ulemavu.

''Kwanza kumeendelea kushamiri kwa hali ya ukatili kwa watoto, hasahasa ukatili wa kingono, ubakaji, ulawiti na ukatili wa kimwili dhidi ya watoto, kanda inayoongoza ni Kanda ya Ziwa kwa asilimia 38, ikifuatiwa na kanda ya nyanda za juu Kusini asilimia  32, Pwani asimia 9, Kaskazini asilimia 9, kanda ya kati asilimia 7 na Kanda ya Magharibi  asilimia 5'' amesema Mkurugenzi Mtendaji LHRC.

Ripoti hiyo pia imeeleza kuwa, licha ya kupungua kwa kiasi kidogo kwa mauaji yanayotokana na imani za kishirikina na kujichukulia sheria mkononi lakini bado hofu imetanda kwa watu wenye Ualbino hasa katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu.

''Kumekuwa na kuongezeka kwa hofu miongoni mwa watu wenye Ualbino hasa wakati huu Tanzania inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, sababu kihistoria mwaka wa kuelekea uchaguzi mkuu wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya ukatili'' Anna Henga LHRC.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi