Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Ripoti hiyo imebaini fedha zilizotolewa zilifuata taratibu zote, isipokuwa baadhi ya malipo yaliyotoka Hazina Kuu kwenda taasisi mbalimbali za serikali.
Rais Samia alitoa agizo hilo Machi 28, 2021 wakati akipokea ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Soma taarifa kamili









