Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC ashauri vikao vipunguzwe, wapambane na VVU

Ijumaa , 2nd Dec , 2022

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Adam Malima, amezitaka Halmashauri zote mkoani humo kupunguza vikao visivyo vya lazima na badala yake kuongeza nguvu katika kupeleka elimu ya kujikinga na VVU kwa jamii kwani kasi ya maambukizi ni kubwa katika mkoa huo.

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Adam Malima

RC Malima amesema takwimu zinaonesha mkoa huo upo kwenye hatari zaidi ya maambukizi kwa mujibu wa takwimu za kitaifa hivyo watendaji wa serikali na taasisi mbalimbali zinatakiwa kuelekeza nguvu zaidi katika kuelimisha jamii ili wawe katika kiwango cha chini kufikia 2030.

"Kiwango cha maambukizi ya UKIMWI kitaifa ni asilimia 4.7 na Mwanza ni asilimia 7.2 hii ni ishara kwamba Mwanza tuna jitihada kubwa za kufanya kwa sababu maambukizi yetu katika miaka hii mitano ya tathmini iliyofanywa maambukizi yetu bado ni makubwa kuliko wastani wa kitaifa, mapambano hayo hatuwezi kuyashinda kwa kuongeza vikao bali kwa kuongeza uwajibikaji wa kupeleka elimu ya kupambana na maambukizi huko kwa wananchi" amesema RC Malima.

Kwa upande wake Insp. Jovitha Ezekiel kutoka kitengo cha Polisi jamii mkoani humo akatoa wito wa kuripoti mapema kwa mtu anayetendewa vitendo vya ukatili.

"Tunashauri mtu kama amefanyiwa kitendo cha ukatili labda amebakwa atoe taarifa kituo cha polisi ndani ya saa 72 unakuta mtu aliyemfanyia ukatili labda afya yake siyo nzuri ina maana akifika ndani ya masaa 72 atapata PF3 atahudumiwa na watu wa dawati waliopata mafunzo maalum na kufikishwa hospitali kwa haraka apate matibabu" amesema Inspekta Jovitha

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya