Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia azawadiwa saa, ng'ombe na mchele

Jumatano , 23rd Nov , 2022

Wakati akihitimisha ziara yake ya siku mbili mkoani Manyara hii leo Novemba 23, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan, amepewa zawadi mbalimbali na viongozi pamoja na wazee wa mkoa huo ikiwemo, mchele, saa, vitunguu na mavazi ya kimilia.

Mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere

Akitangaza zawadi hizo Mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere, amesema kwamba kwa wilaya ya Hanang wamemzawadia Rais Samia ng'ombe 6 na magunia matano ya ngano, huku wazee wa Babati Mjini wakimpatia zawadi ya saa, ndama, mchele pamoja na mavazi ya kimila.

"Mh Rais Hanang wamekupatia Ng'ombe 6 na magunia 5 ya ngano, Kiteto wamekupa Ng'ombe 1 na vazi la kimila, Mbulu wamekupatia ngombe 1 na vazi la kimila na gunia moja la vitunguu swaumu, Simanjiro imekuzawadia Ng'ombe mmoja na vazi la kimila," amesema RC Makongoro Nyerere

RC makongoro aliendelea kuzitaja zawadi hizo, "CCM mkoa wa Manyara wamekuzawadia (Rais Samia) kilogramu 100 za mchele, pea mbili za vitenge na saa moja nzuri kweli, na wazee wa Babati Mjini wamekuzawadia ndama, mchele na mavazi ya kimila,".

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali