Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia awajia juu wanaosambaza sumu ya ukabila

Jumatatu , 11th Oct , 2021

Rais Samia Suluhu Hassan ameonya viongozi wanaosambaza sumu ya ukabila baada ya kuwajibishwa wanapokuwa wameharibu kwenye majukumu yao huku akisisitiza yeye haangalii kabila kwenye kuteua mtu.

Rais Samia Suluhu Hassan

Ameyasema hayo leo Oktoba 11, 2021 Ikulu Chamwino Dodoma, wakati akiongea baada ya kuwaapisha viongozi wateule, Mhe. Sophia Edward Mjema, kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Jaji Omar Othman Makungu, kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania na Mhe. Jaji Mustapha Siyani, kuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania.

''Watu wanafanya makosa ukiwashika ukiwawajibisha, nimewajibishwa kwa sababu ni wa kabila fulani, sina kabila mimi ukiniuliza kabila langu nani nitakwambia ni Mzanzibari. Hiyo sumu mnaipeleka sana na naomba isimame. Mwalimu Nyerere alitufundisha kufanya kazi bila kuangalia makabila,'' ameeleza Rais Samia Suluhu.

Aidha, amesisitiza kuwa, ''Mimi siangalii kabila, TAMISEMI kwa mfano Waziri ni Mtanga, Katibu Mkuu Mtanga na wengine, nikaletewa hapa mama umeweka wote watanga, nikauliza wana sifa? waacheni wafanye kazi wakikoroga nawatumbua, sipangi kwa makabila napanga kwa uwezo twende tukasukume maendeleo ya wananchi''.

Tazama Video hapo chini
 

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea