
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu
Nasikitika kuwajulisha kuwa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Elias John Kwandikwa amefariki dunia. Nitakumbuka umahiri wake katika uongozi na uzalendo. Natoa pole kwa familia, Jeshi, Bunge na wananchi wa Jimbo la Ushetu. Mungu amweke mahali pema peponi, Amina pic.twitter.com/Wxte77dwuO
— Samia Suluhu (@SuluhuSamia) August 3, 2021
Aidha, Rais Samia ametoa pole kwa familia ya Elias Kwandikwa na kueleza jinsi atakavyomkumbuka kwa utendaji kazi wake enzi za uhai wake.
Soma taarifa kamili hapo chini.