Rais Samia Suluhu Hassan
Ambaye aliteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania.
Rais Samia amemteua Saudin Jacob Mwakaje, kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa. Dkt Mwakaje ni Mhadhiri mwandamizi chuo kikuu cha Dar es Salaam na mjumbe wa baraza lililomaliza muda wake
Aidha Rais Samia amemteua George Daniel Yembesi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la chuo kikuu cha ushirika Moshi (MoCU) kwa kipindi cha pili