
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
Miongoni mwa walioteuliwa ni aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama cha Mapinduzi Rodrick Mpogolo ambaye anakuwa Katibu Tawala Mkoa wa Katavi.
Uteuzi wao umeanza Mei 29, 2021.
Soma taarifa kamili hapo chini