Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia ameondoa urasimu huu kwa miezi 8

Jumapili , 28th Nov , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu amesema kwa miezi nane ya serikali ya Awamu ya Sita, wamefanikiwa kuondoa urasimu kwenye mambo mbalimbali ikiwemo vibali vya kazi pamoja na uwekezaji.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu

Rais Samia ameyasema hayo leo Novemba 28, 2021, wakati akihutubia taifa mbele ya mgeni wake Rais wa Uganda Yoweri Museveni kwenye viwanja vya Ikulu kufunga kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Uganda.

''Nafarijika kusema jiihada tulizochukua kwa kipindi kifupi cha takribani miezi 8, zimeleta chachu ya kuongezeka uwekezaji na idadi ya ajira zinazotarajiwa kutokana na miradi iliyoandikishwa,'' ameeleza Rais Samia Suluhu.

Kwa upande wa vibali vya kazi amesema, ''Maboresho na jitihada yamepelekea kupungua kwa muda wa upatikanaji wa vibali vya kazi kwa kuondoa urasimu na sasa hata ndani ya siku moja mwombaji anaweza kupata kibali kupitia mfumo wa E-Permit. Mfumo huu pia unaruhusu upatikanaji kibali cha ukaazi katika kadi moja, kabla ya hapo kibali kilikuwa kinachukua miezi 6 au zaidi,''.

Rais Yoweri Museveni yupo nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku tatu ambapo aliwasili jana Jumamosi Novemba 27, 2021.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali