Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli aomba radhi

Ijumaa , 9th Dec , 2016

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewaomba radhi watanzania ambaowalichukizwa na maamuzi yake aliyoyafnya mwaka jana ya kufuta sherehe za uhuru na badala yake kutumia pesa kwenye upanuzi wa barabara.

Amiri Jeshi Mkuu Rais Magufuli akipigiwa mizinga 21 katika sherehe za uhuru

 

Rais Magufuli ameomba msamaha leo wakati akitoa salamu zake za maadhimisho ya miaka 55 ya uhuru, katika sherehe zilizofanyika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam, ambapo alitumia nafasi hiyo kueleza sababu za kufuta sherehe hizo mwaka jana na kuziruhusu mwaka huu.

Rais Magufuli amesema sababu mbili mojawapo ikiwa ni kuokoa pesa ambazo zilikuwa zimepangwa kutumiwa na watanania wachache katika sherehe zile na kuamua kuzielekeza kwenye matumizi ambayo watanzania wote watafaidika.

Amesema kama kuna watu ambao aliwaudhi kwa maamuzi hayo wamsamehe lakini kama pia kama wapo waliofurahia maamuzi hayo, anawashukuru.

"Mwaka jana nilipouliza shilingi ngapi zimetengwa kwa ajili ya sherehe nikaambiwa bilioni 4, nikauliza hizi bilioni nne kuna wageni au kuna nini, wakasema ni pamoja na chakula kwa wageni, posho na mambo mengine, nikaona bilioni nne zinataka kutumiwa na watanzania wachache, nikaamua ni bora zikajenge barabara ili watanzania wote wafaidi, kama kuna watu watu hawakupenda, wanisamehe sana" Amesema Rais Magufuli.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali