Kushoto ni Anna Makinda na kulia ni Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Aman Abeid Karume
Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo Agosti 18, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ambapo pia amemteua Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Aman Abeid Karume kuwa Mkuu wa Chuo cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST).