Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais afanya uteuzi, yumo aliyekuwa mgombea urais

Jumamosi , 15th Mei , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa mbalimbali hapa nchini akiwemo aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama cha ADC katika uchaguzi mkuu wa 2020, Queen Sendiga, ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Iringa.

Queen Sendiga, Mkuu wa mkoa wa Iringa mteule

Taarifa ya uteuzi wa viongozi hao imetolewa hii leo Mei 15, 2021, na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, ambapo miongoni mwa walioteuliwa ni Ali Hapi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora, Anthony Mtaka kuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma, David Kafulila kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.

Wengine ni Aboubakar Kunenge kuwa mkuu wa mkoa wa Pwani, Meja Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti kuwa Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Stephen Kagaigai kuwa Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Albert Chalamila, kuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza, Juma Homera kuwa Mkuu wa mkoa wa Mbeya.

Tazama orodha ya wakuu wa mikoa mingine hapa chini

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali