Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Raia kusindikizwa na Polisi Benki

Alhamisi , 14th Sep , 2017

Kamanda wa Polisi Mkoa wa kipolisi Kinondoni Murilo Jumanne Murilo amefunguka na kusema wananchi wanapaswa kulitumia jeshi la polisi wakati wa wakiwa wanakwenda kuchukua au kupeleka pesa zao benki ili kujihakikishia usalama wao pamoja na mali.

Kamanda Murilo Jumanne Murilo

Akizungumza leo asubuhi kwenye kipindi cha East Africa Breakfast, Kamanda Murilo amesema kuwa ni moja ya  jukumu la polisi kulinda mali za raia ndiyo maana kuna huduma inaitwa ' Money Escot'  hivyo wananchi wanapaswa kutambua wajibu wa kuchagua kuwa salama.

"Wezi siku zote wanatumia gharama kwa ajili ya kufanya uhalifu. Kama unajijua kesho nakwenda kuchukua kiasi kikubwa cha pesa au napeleka ni vyema ufikirie usalama wako. Fika kituo cha polisi kwa ajili ya kupatiwa huduma. Huduma hizi  sasa siyo kwamba tunahamasisha kila mtu mwenye fedha atake kusindikizwa, au kila mahali maana tunazingatia mazingira pamoja na kiasi unachokwenda kuchukua. Lakini niwasihi raia waweze kuzingatia sana usalama wao," Murilo

Pamoja na hayo Kamanda Murilo amewataka raia kutojisababishi uvamizi wenyewe kwa kuwatengenezea wahalifu fursa kama kujionyesha hadharani.

"Kuna mahali unaweza ukawa umekwenda lakini ukahitaji kutoa msaada na ni hadharani, Unaweza ukaomba pia huduma kwetu inaitwa 'Crowd Control' hivyo wananchi wanapaswa wao wenyewe kulitumia jeshi.  Lakini kuna wale wanaotaka kulipa bili ya elfu ishirini halafu anatoa milioni wezi hawatakuacha hata sisi hatuwezi kuja kukulinda na mitutu kwastaili kama hiyo. Heshimu usalama wako wenyewe," ameongeza

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto