Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Popobawa aingilia wake za watu usiku Morogoro

Ijumaa , 23rd Sep , 2022

Wakazi wa Kijiji cha Igawa, Malinyi mkoani Morogoro, wameiomba serikali wilayani hapo kuwasaidia kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa popo bawa anayewaingilia watoto wa kike na wake za watu nyakati za usiku, na kwamba wanahofu ya kupata magonjwa ikiwemo VVU.

Baadhi ya wanaume waliozungumzia changamoto ya wake zao

Wananchi hao wamedai popobawa huyo alikuwa anatumia imani za kishirikina ndipo aingie ndani ya nyumba na kutekeleza matukio hayo.

Hali hiyo imemlazimu Mkuu wa wilaya ya Malinyi Mathayo Masele, kufika kwenye Kitongoji hicho na kukutana na baadhi ya wakazi wa eneo hilo, na kusema kwamba Popobaya huyo amepelekea wanaume wasiheshimike ndani ya ndoa zao kwani imefikia hatua wakiamka wanakuta wake zao wameshaingiliwa.

Kufuatia tukio hilo Mkuu wa Sungu Sungu kitongoji cha Igoloka Pius Mbala amesema sungusungu kwenye kitongoji hicho wamefanikiwa kumkamata popobawa huyo ambaye anatuhumiwa kufanya matukio hayo pia ni binadamu mwanumume na jina lake limehifadhiwa.

Kutokana na changamoto hiyo Mkuu wa wilaya ya Malinyi akizungumza na wakazi wa kitongoji hicho baada ya kufika mara moja katika eneo hilo, amewaomba wakazi hao kuwa watulivu na kwamba Jeshi la Polisi linafuatilia ukweli wa taarifa hizo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi