Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Pato la wananchi wangu limeongezeka" - RC Kagera

Jumanne , 13th Aug , 2019

Mkuu wa Mkoa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti amesema kuwa uchumi wa mwananchi wa Kagera umekua ukilinganisha na miaka iliyopita kutoka kiasi cha shilingi 667,000 mwaka 2010, hadi kufikia shilingi 1300,000 mwaka 2018.

Hayo ameyabainisha wakati akizungumza na wafanyabishara pamoja na Mabalozi wanaowakilisha nchi ya Tanzania katika mataifa ya Kenya, Rwanda, Burundi na DR Congo katika kongamano la wiki ya uwekezaji mkoani humo.

"Mwaka 2010 pato la mwananchi wa Kagera lilikuwa takribani Tsh, 667,000, toka mwaka 2018 kwa takwimu zilizopo pato la mwananchi wa Kagera ni Tsh, 1300, 000 lakini pato jumla la mkoa limepanda toka Tsh, 1.3 trilioni mwaka 2010,  mpaka Tsh, 4.9 trilioni  mwaka 2018", amesema  RC Gaguti.

Aidha RC Gaguti ameongeza kuwa Kagera ni mkoa wa 24 kati ya mikoa 26, ambao unachangia asilimia 3.6% katika pato la Taifa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali