Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pangani nzima sasa yawaka umeme

Jumapili , 15th Jan , 2017

Kata zote kumi na nne katika jimbo la Pangani mkoani Tanga zimefanikiwa kupata umeme kupitia juhudi zilizofanywa na mbunge wa jimbo hilo Mhe. Juma Aweso akishirikiana na wizara ya nishati na madini.

Aweso alikuwa akizungumza kupitia Kipindi cha Weekend Breakfast cha EA Radio, amesema baada ya suala hilo la umeme kufikia pazuri, hivi sasa kilio cha wana Pangani ni huduma ya uhakika ya usafiri wa majini utakaounganisha jimbo la Pangani na maeneo mengine ya ukanda wa mwambao nchini.

Amesema mkakati wake kama mbunge hivi sasa ni kuhakikisha panakuwa na boti ya haraka (Fast Boat) kwa ajili ya huduma za usafiri katika mto Pangani itakayorahisisha 

 

Jumaa Aweso - Mbunge wa Pangani

Mbali ya mafanikio katika suala la miundombinu ya umeme na barabara, jimbo hilo pia limefanikiwa kumaliza migogoro baina ya wakulima na wafugaji kwa mujibu wa Katibu wa Wafugaji wilaya ya Pangani Bw. Christopher Benedict Molam aliyefanya mazungumzo na Kurasa ya EATV.

Molam ametaja mbinu waliyoitumia kumaliza migogoro hiyo kuwa ni kwa kuwaelimisha wafugaji kuwa huwezi kula nyama peke yake pasipo kuhitaji mahindi na aina nyingine za mazao huku wakulima nao wakielimishwa umuhimu wa mifugo kama kitoweo muhimu kwao kwani hakuna anayeweza kula mahindi pasipo kuhitaji nyama ambayo inatokana na mifugo.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali