Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Panda digital sms kuwafikia wasichana laki moja

Jumatano , 21st Sep , 2022

Zaidi ya wasichana laki moja wanatarajiwa kufikiwa na mfumo wa kidigitali unaofahamika kama Panda digital sms  ambapo utawawezesha wasichana wa Tanzania kuweza kuendesha biashara kidigitali sambamba na kuunganishwa na fursa mbalimbali zinazopatikana ndani na nje ya Tanzania

Hatua ambayo inatokana na kubainika kwamba kuna pengo kubwa katika matumizi ya kidigitali kati ya msichana na mvulana hasa wanaoishi maeneo ya vijijini

Mkurugenzi wa shirika la Her Initiative Lidya Charles Moyo  akizungumza na waandishi wa habari  leo amesema  wamebaini pia kwamba wasichana wengi wa vijijini hawana simu janja , hawana internet na hata ule ujuzi wa awali wa kuweza kutumia majukwaa hayo ya kidigitali hivyo kupitia mfumo huo ambao ni bure utawasaidia kupata elimu na taarifa za kujiendeleza kwa kujua namna gani unaweza kuongeza soko la biashara yako na  pili ni vitu gani unaweza kuviandaa Ili uwe na biashara yenye mafanikio zaidi

Naye mbunifu wa mifumo ya teknolojia kutoka shirika hilo Giveni Edward amesema Kwa uzoefu uliokuwepo mifumo mingi ya jumbe fupi yaani sms lazima ulipie lakini kwa mfumo huo ni tofauti kwani hata kama hauna salio kwenye simu yako unaweza kutuma na kupokea ujumbe wenye kukuelekeza unachopaswa kufanya kwenye biashara yako lakini ni lazima uwe umejisajili kwenye mfumo huo

Naye meneja mahusiano na mawasiliano Bi Lucy Moto amewasihi wasichana kujiunga na mifumo hiyo ya kidigitali ambayo vijana wengi wamekuwa wakiitumia kama fursa za kujiajiri tofauti na wasichana huku akisisitiza kwamba teknolojia imekuwa ikikua kila siku na ikitumika vizuri italeta mageuzi makubwa ya kiuchumi na biashara kwa wasichana

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea