Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Odinga aeleza alivyoshtushwa na matokeo ya Urais

Jumanne , 16th Aug , 2022

Aliyekuwa mgombea Urais kupitia Azimio, Raila Odinga, amesema kwamba yeye, chama chake na wakenya kwa ujumla walishtushwa na matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Wiliam Ruto, yaliyotangazwa na Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati na kusema yeye hayatambui.

Raila Odinga, wakati akizungumza baada ya matokeo kutangazwa

Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 16, 2022, wakati akizungumza na wananchi wa Kenya, ambapo amesisitiza kwamba matokeo hayo ni batili kwani Mwenyekiti Chebukati hakutoa fursa kwa makamishna wengine katika hatua za mwisho za uhesabuji wa kura hadi utangazaji wa matokeo na kwamba atafuata sheria zaidi.

"Mimi binafsi na chama changu cha Azimio na Taifa kwa ujumla jana tulishtushwa kumuona Chebukati (Mwenyekiti wa IEBC) peke yake kuamua kumtangaza mshindi wa kiti cha Urais katika uchaguzi wa mwaka 2022," amesema Odinga 

Aidha Odinga ameongeza kuwa, yeye pamoja na Wakenya kwa ujumla hawatokubali mtu mmoja atokee na kujaribu kubadilisha maamuzi ya wananchi waliyoyafanya Agosti 9 mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali