Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Njia nane kutoka Kimara hadi kibaha asilimia 88

Jumatano , 10th Aug , 2022

Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imesema ujenzi wa mradi wa barabara ya njia nane ya kutoka Kimara hadi Kibaha umefikia asilimia 88 huku ikiahidi kujenga barabara ya kasi itakayo kuwa ya kutoka kibaha hadi Morogoro pamoja na kutanua njia kutoka Kimara hadi Ubungo 

Akizungumza  leo wakati alipofanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa barabara ya njia nane kutoka Kimara hadi Kibaha Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema serikali inaridhishwa na mwenendo wa ujenzi wa mradi huo huku ikiwa mbioni  kuanzisha mchakato wa ujenzi wa barabara ya haraka itakayo jengwa kwa ubiya na sekta binafsi  ambapo baada ya kukamilika watumiaji watatakiwa kulipia ili kuitumia.

Kuhusu upanuzi wa ujenzi wa barabara  za njia nane kutoka Kimara mwisho hadi Ubungo  Kasekenya amesema wana mpango wa kujenga barabara  hizo    ili kupunguza msongamano kutoka eneo la Kimara hadi ubungo

Kwa upande wake Mhandisi mkazi wa mradi  kutoka TANROADs Mwanaisha Rajabu amesema mradi huo unaendelea kwa kasi kubwa huku hatua za awali zikiwa zimekamilika ikisalia hatua za pili ikiwemo ujenzi  wa madaraja .uwekaji taa barabarani pa moja na ujenzi wa barabara za kutoka na kuzunguka kituo cha mabasi cha magufuli  licha ya kuwa changamoto imekuwa ni wananchi kutotumia vivuko  vya kuvukia maalum katika njia hizo nane.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA