Nguruwe
Tukio hilo limetokea jana Juni 25, 2023, baada ya mtoto huyo kubaki ndani peke yake na kwamba alijisaidia na kukosa msaada hivyo inadaiwa Nguruwe aliposikia harufu ndipo alipoenda kuvamia chumba alichokuwepo mtoto huyo na kuanza kumshambulia miguuni, tumboni na sehemu za siri.
Kwa upande wa wanafamilia ya mwanakatwe wanakanusha skendo ya kutokumjali marehemu huku diwani wa kata hiyo akitoa wito kwa wananchi kutokufuga mifugo ndanio ya nyumba zao.