Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndugai anaweza kuachia ngazi - Ng'ingo

Jumatano , 5th Jan , 2022

Mchambuzi wa siasa nchini Goodluck Ng'ingo, amesema iwapo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, hatobadilika na kuendelea na utaratibu wake wa kukosoa hadharani nje ya kufuata utaratibu jambo ambalo litakuwa na manufaa kwa pande zote mbili ni yeye kuachia ngazi.

Mchambuzi wa siasa nchini Goodluck Ng'ingo, na kulia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai

Kauli hiyo ameitoa hii leo Januari 5, 2022, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, kufuatia Rais Samia kuonesha kukerwa jana kutokana na Spika Ndugai kukosoa hadharani kuhusu mkopo wa trilioni 1.3 uliotolewa na IMF.

"Kama Spika ataendelea na utaratibu wake wa kukosoa hadharani bila kufuata utaratibu, jambo ambalo litakuwa na manufaa kwa pande zote mbili ni yeye kuachia ngazi, yeye kwa nafasi yake maoni anayotoa yanachukuliwa kwa uzito na hasa kwa sababu wengi wanaamini yeye anaweza kuwa na taarifa zote muhimu," amesema Ng'ingo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali