
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai
Kauli hiyo ameitoa Bungeni Dodoma hii leo Mei 24, 2021, na kueleza kuwa kuanzia kesho kila mbunge anayesimama kuuliza swali anatakiwa afanye hivyo na siyo kupoteza muda na vivyo hivyo kwa mawaziri wanatakiwa kunyoosha maelezo wakati wa kujibu maswali hayo.
Tazama video hapa chini