Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndugai aeleza kinachoendelea sakata la wabunge 19

Jumatatu , 30th Nov , 2020

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amesema kuwa wabunge wote ambao tayari wamekwishaapishwa, wanatambulika kwamba ni wabunge kamili wakiwemo hata wale wabunge wa viti maalum kutoka CHADEMA ambao wamefukuzwa uanachama na chama chao.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 30, 2020, mara baada ya kuwaapisha wabunge wawili walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, ambao ni Hamphrey Polepole na Riziki Lulida.

"Wabunge wote wa Bunge la 12 tuliowaapisha tunaendelea kuwatambua kwamba ni wabunge kamili wote ikiwa ni pamoja na wale 20 wa chadema, 19 wa viti maalum na yule mmoja aliyechaguliwa, Mh. Aida Khenani, nashangaa wanawasonga tu hawa 19 yule mmoja wamemgwaya wakiweza wamfukuze basi", amesema Spika Ndugai.

Aidha Spika Ndugai amempa onyo Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, kuacha tabia yake ya kuwadhalilisha wanawake hadharani, "Hamjui kwanini wale 19 wamepitia mapito gani, hamjui kwanini imekuwa hivyo, yako mambo hatuwezi kusema humu, viko vyama ni kampuni ya mtu, mtu ni Mungu mtu  bila yeye hakiwezekani chochote, namuambia hawa 19 ni wabunge labda wao kwa kutumia utaratibu wa kikatiba wajiuzulu, lakini kwa yeye na Mnyika wake wale ni wabunge". 

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali