Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Natumaini CHADEMA wataniunga mkono"- Kubenea

Jumamosi , 26th Sep , 2020

Mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni kupitia ACT Wazalendo,  Saed Kubenea, amesema kuwa hata kama vyama vya upinzani vitaamua kuungana na kuachiana baadhi ya majimbo ya uchaguzi, anayo imani kuwa chama cha CHADEMA kitamuunga mkono na kuhakikisha anapata ushindi katika jimbo hilo.

Mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni, Saed Kubenea.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 26, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ambapo amesema kuwa licha ya kwamba amechelewa kuzindua rasmi kampeni zake kutokana na matatizo yanayomkabili, lakini kampeni zake atazindua rasmi siku ya kesho ya Septemba 27,

"Mimi ni mtiifu wa maelekezo na maamuzi ya chama changu na kama chama kitasema jimbo la Kinondoni anaachiwa CHADEMA basi mimi nitakubali kuachia hilo jimbo ili mgombea wa CHADEMA aweze kugombea, lakini mimi matumaini yangu kwa kuwa mgombea wa CHADEMA anaweza kupata Ubunge kupitia dirisha lingine la viti maalum, naamini CHADEMA wataniunga mkono mimi ili hatimaye Kinondoni iweze kuongozwa na mimi", amesema Kubenea.

Aidha kubenea ameeleza ni kwa namna gani kesi yake mahakamani imemrudisha nyuma, "Matatizo yamenirudisha nyuma sababu yamevuruga mipango niliyokuwa nayo, yamenifanya niwe 'busy' na kesi badala ya kufikiria uchaguzi, nimepoteza mawasiliano sababu simu yangu ipo polisi, lakini pia yameniimarisha sana na nipo imara bado".

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali