Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee Issa asifika kwa utatuzi wa migogoro Mtwara

Jumatano , 25th Jan , 2023

Mahakama ya  mwanzo Msimbati, wilaya ya Mtwara imekosa wateja kutokana na kuwapo kwa Mzee  Issa Mkumba (60), ambaye pia ni Mwenyekiti wa kitongoji cha Mtandi Majengo, ambaye anaaminiwa na jamii yake kutokana na uwezo wake mkubwa wa  kutatua migogoro licha ya kutokuwa na taaluma ya sheria

Ikiwa hii ni wiki ya sheria yenye kauli mbio inayosema,   umuhimu wa  utatuzi wa migogoro kwa njia ya usulushi wajibu wa mahakama na wadau,   kwa Mkoa Mtwara uzindua  umefanyika katika  Mahakama kuu kanda ya Mtwara, ambapo  inabainika kuwapo kwa kesi chache katika mahakama ya Mwanzo Msimbati, baada ya kugundua  uwapo kwa Mzee Issa Mkumba,   ambaye amekuwa akitatua migogoro kwa wakazi wa eneo hilo, 

 Jaji  Mfawidhi  Mahakama kuu Kanda ya Mtwara Zainabu Muruke, ametoa rai kwa wakazi wa Mkoa wa Mtwara, kutatua migogoro yao kwa njia ya usuluhishi, badala ya kukimbilia mahakamani ambapo wamekuwa wakipoteza muda mwingi, na kushindwa kufanya kazi  za kujiingizia kipato.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali