Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwinyi mgeni rasmi sherehe za Mapinduzi Zanzibar

Jumapili , 10th Jan , 2021

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Ali Mwinyi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za miaka 57 za Mapinduzi ya Zanzibar ambazo kwa mwaka huu zitafanyika katika viwanja vya mnazi mmoja mkoa wa Mjini Magharibi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Ali Mwinyi

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, mkuu wa mkoa wa Mjini Magharibi, Idrisa Kitwana Mustafa amesema sherehe hizo zitaambatana na maandamano ya mapinduzi yatakayo washirikisha vijana kutoka Unguja na Pemba ambayo yataanzia katika uwanja wa Matumbaku  hadi uwanja wa Mnazi mmoja , ambapo Rais atapokea maandamano hayo pamoja na maonyesho ya vikosi vya ulinzi na usalama.

"Katika sherehe hizo viongozi mbalimbali watahudhuria wakiwemo wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, viongozi wa vyama vya siasa, mabalozi wa nchi za nje waliopo nchini pamoja na wananchi wa mikoa mitano ya unguja na pemba" amesema

Kitwana amesema sherehe za mwaka huu zitakuwa za kwanza tokea serikali ya awamu ya nane inayoongozwa na Dkt Husein Mwinyi iingie madarakani mwezi novemba mwaka 2020, hivyo amewataka wananchi kuhudhuria kwa wingi katika sherehe hizo ili kumuunga mkono Rais wa Zanzibar pamoja na serikali yake.

Kitwana ambae pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa huo  amesema vyombo vya ulinzi na usalama vimejipanga vizuri ili kuhakikisha hali ya amani inaimarika wakati wote wa sherehe hizo.

Aidha Kitwana amewaomba wananchi wote kuhudhuria kwa wingi katika viwanja vya maisara usiku wa januari 11 kwa ajili ya kuangalia fashfash za maadhimisho ya sherehe za miaka 57 ya mapinduzi ya Zanzibar ambapo mgeni rasmi siku hiyo anatarajiwa kuwa Makamo wa pili wa rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdalla.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA