Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwinyi apewa zawadi ya gari 

Jumamosi , 8th Mei , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amempa gari Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi, kama zawadi ya kusherehekea kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa ambapo hii leo Mei, 8, 2021, ametimiza umri wa miaka 96.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akimkabidhi gari aliyompa kama zawadi Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.

Awali kabla ya kumkabidhi gari hilo, Rais Samia, alisema kuwa ameamua kumpa zawadi hiyo ili kumuondolea kadhia ya kupanda na kushuka gari lake analolitumia kwa sababu hivyo ameamua kumpa gari la chini ili awe anapanda na kushuka kwa uzuri zaidi.

"Kama mnavyojua leo ni siku ya kuzaliwa kwa Mzee wetu na siku hii waalikwa hutoa zawadi kwa mzaliwa na nimemuangalia na kimo chake na usumbufu anaoupata wakati wa kupanda na kushuka gari tulilompa, serikali tumeona tumpunguzie kadhia hiyo hivyo tutampatia Benz ya chini gari itakayompa raha", amesema Rais Samia

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi