Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Museveni azungumzia demokrasia nchini Uganda

Jumatano , 12th Mei , 2021

Rais Yoweri Museveni ameapishwa rasmi leo Mei 12, 2021 kuwa Rais wa Uganda kwa muhula mwingine mara baada ya kushinda uchaguzi wa Januari 14, 2021.

Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni akila kiapo leo , Mei 12, 2021

Rais Museveni anaiongoza nchi ya Uganda kwa muhula mwingine tena, na huu ukiwa ni muhula wake wa sita tangu alipoingia madarakani mwaka 1986,  kwa mapinduzi ya kijeshi.

Akizungumza mara baada ya kuapishwa Rais Museveni amesema hawatoitilia maanani mihadhara inayohusu suala zima la demokrasia ya nchi hiyo kutoka katika nchi za kigeni bali ile inayotoka barani  Afrika

Pia Rais Museveni amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuruhusu Sukari kutoka nchini humo kuingia Tanzania huku akisema kuwa kwasasa Uzalishaji bidhaa nchini Uganda ni mkubwa.

Zaidi ya marais 10 kutoka Mataifa mbalimbali wameshiriki shughuli ya uapisho huo, akiwemo Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali