Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Muhimbili yafanikisha 'upasuaji wa ajabu'

Jumatatu , 20th Feb , 2017

Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na daktari bingwa wa upasuaji wa watoto kutoka Falme za Kiarabu kwa mara ya kwanza wamefanikiwa kufanya upasuaji mkubwa wa mfumo wa chakula na njia ya haja kubwa kwa njia ya matundu madogo.

Madaktari bingwa Hospitali ya Taifa Muhimbili wakiendelea na zoezi la upasuaji wa tumbo kwa njia ya matundu.

 

Hayo yameelezwa leo na Daktari Bingwa wa upasuaji kwa watoto kutoka hospitali hiyo Dkt. Zaituni Bohari wakati wa zoezi la upasuaji huo ambao wamefanyiwa watoto wenye umri wa miaka 10 kutoka Zanzibar na Tanzania Bara na kuongeza kuwa wanategemea huduma hiyo kuanza kuifanya kwa watu wazima pia.

Amesema zoezi hilo litafanyika nchini kwa muda wa siku tano na wanategemea kuwafanyia watoto takribani 6 na kwamba njia hiyo ya upasuaji inapunguza gharama ya kusafirisha wagonjwa kwenda nje ya nchi kupatiwa matibabu kama hayo ambayo yalikuwa hayatolewi nchini huku akisema pia sasa bado hawajaweka bei elekezi ya huduma hiyo.

Amesema upasuaji huo hufanyika kwa muda wa saa zisizopungua nne kulingana na ukubwa wa tatizo hivyo ni wajibu sasa kwa kila mwananchi pindi aonapo hali isiyo ya kawaida katika mwili wake aende hospitali kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi zaidi nbadala ya kusubiri tatizo kuwa kubwa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali