Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mufindi waibana serikali kuhusu barabara

Jumamosi , 6th Dec , 2014

Wananchi wa vijiji vya Igowole na Mufindi Kibaoni wilayani Mufindi wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa barabara ya Nyololo Igowole hadi Mgololo yenye urefu wa kilomita 77.6

Wananchi wa vijiji vya Igowole na Mufindi Kibaoni wilayani Mufindi wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa barabara ya Nyololo Igowole hadi Mgololo yenye urefu wa kilomita 77.6 kwani barabara hiyo ni muhimili kwa uchumi wa wilaya ya mufindi na taifa kwa ujumla kutokana na uwepo wa viwanda vikubwa kikiwemo kiwanda cha karatasi cha mgololo.

Wananchi hao wamesema hayo kwenye mikutano ya hadhara iliyofanywa na Naibu Waziri wa Ujenzi mhandisi Gerson Lwenge wakati alipotembelea kukagua barabara na kuongea na wananchi wa vijiji vinavyopitiwa na barabara hiyo ambapo wananchi hao wamemwambia Naibu Waziri huyo kuwa wamekuwa wakiahidiwa kujengewa barabara hiyo kwa kiwango cha lami kwa muda mrefu sasa lakini utekelezaji wake umekuwa kitendawili.

Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi katika kijiji cha Kibaoni bwana Jacob Sanga amesema ahadi za serikali zisizoambatana na utekelezaji kujenga barabara  hiyo zinakweka chama hicho tawala katika wakati mgumu ambapo wao kama viongozi wamekosa majibu ya kuwapa wananchi wanapohoji utekelezwaji wa ahadi hiyo ya serikali.

Akijibu malalamiko hayo Naibu Waziri wa Ujenzi Gerson Lwenge amesema serikali imeshaanza hatua za ujenzi wa barabara hiyo kwa kufanya upembuzi yakinifu hivyo kuwatoa hofu wananchi hao na kwamba serikali ina thamini mchango unaotolewa viwanda vya chai, kahawa na karatasi vinavyotegemea barabara hiyo kwa ajili ya kusafirisha malighafi pamoja na bidhaa zinazotoka viwandani humo.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu