Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtulia arejea tena Bungeni

Jumapili , 18th Feb , 2018

Msimamizi wa uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Kinondoni ambaye ni Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Aron Kagurumjuli amemtangaza Maulid Mtulia kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa nafasi hiyo.

Kwa mjibu wa Kagurumjuli wakati anatangaza matokeo amesema Maulid Mtulia (CCM) amepata jumla ya kura 30,247 akimshinda mpinzani wake wa karibu Salum Mwalimu (CHADEMA) aliyepata kura 12,355.

Uchaguzi huo ulifanyika jana Februari 17 kwa zoezi la kupiga kura ambalo lilimalizika jioni na shughuli ya kuhesabu kura kuanza ambapo baada ya kukamilika asubuhi hii msimamizi ametangaza matokeo.

Aidha uchaguzi huo umefanyika kufuatia aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Maulid Mtulia aliyechaguliwa 2015 kupitia chama cha Wananchi CUF kwa mwamvuli wa UKAWA kujiuzulu nafasi hiyo na kuhamia CCM.

Mtulia ameungana na Godwin Mollel kuwa wabunge wapya ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye naye ameibuka mshindi kwenye uchaguzi mdogo Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali