Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoto wa Miaka 11 abakwa

Jumanne , 25th Jul , 2017

Jeshi la polisi mkoani Mwanza, linamshikilia mtu mmoja (39) kwa tuhuma za kumbaka mtoto (11) jana Jumatatu alfajiri katika mtaa wa  Wa Kabangaja Wilaya Ya Ilemela  na kumsababishia maumivu makali sehemu zake za siri kitendo ambacho ni  kosa la jinai.

Kamanda Wa Polisi (M) Mwanza, DCP: Ahmed Msangi amesema kwamba tukio hilo limetokea asubuhi wakati wazazi wa majeruhi (jina limehifadhiwa)  wakiwa wametoka kwenda kutafuta riziki na hapo ndipo mtuhumiwa ,( Makusudi Rashid) alipopata nafasi ya kufanya uhalifu huo

"Majira tajwa hapo juu wazazi wa majeruhi aliyebakwa waliondoka na kwenda kutafuta riziki ya watoto huku nyumbani wakiwaacha majeruhi na mdogo wake wakiwa wamelala. inasemekana kuwa wakati majeruhi akiwa amelala na mdogo wake, ghafla alishtuka na kumuona mtuhumiwa tajwa hapo juu akiwa anambaka kwa nguvu huku akisikia maumivu makali na kupelekea kupiga kelele za yowe akiomba msaada,"  Kamanda Msangi alieleza.

Ameongeza kuwa baada ya majeruhi kuomba msaada mtuhumiwa alikimba "Wananchi walimuona mtuhumiwa  akiwa anakimbia na kuanza kukimbiza hadi walipofanikiwa kumkamata kisha wakatoa taarifa kituo cha polisi, askari walifanya ufuatiliaji wa haraka juu ya taarifa hizo hadi eneo la tukio na kumkuta mtuhumiwa akiwa chini ya ulinzi wa wananchi". 

Hata hivyo Kamanda msangi amesema kwamba polisi wapo kwenye mahojiano na mtuhumiwa, pindi uchunguzi ukikamilika atafikishwa mahakamani, huku majeruhi akiwa tayari amepelekwa hospitali kupatiwa matibabu na hali yake inaendelea vizuri.

Vilevile Kamanda msangi amewataka wazazi pamoja na walezi kuhakikisha wanawawekea watoto makazi salama yatakayoweza kuwalinda watoto na mali dhidi ya wahalifu pia anawataka wananchi wa mwanza kuwa waangalifu na makini wakati wote na watu wenye nia ovu dhidi ya watoto.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi